Msani filamu tanzania CHUCHU HANSY yupo mbioni kutoa filamu yake mpya iitwayo usiku wa daku akiongea na blog hii hapo jana chuchu alisema filamu hiyo imejikita sana kwemye maswala ya dini ya kiislamu hasa kwemye kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa ramadhani pia amewaomba mashabiki wake wakae tayari kuipokea kazi yake hiyo mpya inayotarajia kutoka mwishoni wa mwezi huu .
No comments:
Post a Comment