Msanii wa filamu tanzania Rose ndauka siku ya jumamosi akiambatana na timu yake walitembelea kituo cha kulelea watoto yatima kilichopo maeneo ya kigogo ambapo alijumuika na watoto hao katika chakula cha mchana na michezo mbalimbali ambapo ziara hiyo ya msanii huyo iliambatana na uzinduzi wa filamu yake mpya iitwayo ANGELA iliyotoka siku ya jumatatu inayosambazwa na steps entertainment.Msanii huyo aliwasihi watoto hao kuwa na nidhamu na kujituma katika masomo yao ili kuepukana na wimbo zima la umasikini linaloikabili nchi yetu
.
No comments:
Post a Comment