Monday, June 6, 2016

PACHA WA MSANII RIYAMA ALLY AITWAE MWANAHER KUACHIA FILAMU YAKE MPYA HIVI KARIBUNI.

MANAKHERI ndivyo wanavyo muita na wazazi wake msanii wa filamu hapa tanzania yupo mbioni kuanjia filamu yake mpya iitwayo MWANAHER filamu hiyo iliyobeaba manjonjo kibao na kuchezwa na mastaa kibao akiwemo pacha wake mkubwa riyama ally alisema mwanaher na kuwashukuru watanzania kwa kumpokea vizuri katika kazi zake zilizopita na kuwaahidi kusubili kazi yake mpya ianayokuja na kuwaahidi mashabiki wake kutowaangusha maana filamu ni nzuri na wataipenda.




MOJA YA VIPANDE KATIKA FILAMU YAKE MWANAHER








No comments:

Post a Comment