Tuesday, June 7, 2016

HATIMAYE ABDALLAH KISANDA ALIYEKUWA MCHEZAJI WA JKT RUVU APATA JIKO..






Aliyekuwa mchezaji wa jkt ruvu abdallah kisanda fundi wa mpira mnamo siku ya jumamosi aliweka wazi na kumtambulisha mke wake ikiambata na harusi yao iliyofanyika maeneo ya mtoni kwa azizi ally harusi hiyo ilihudhuliwa na watu mbalimbali pamoja na wachezaji wenzake kumuunga mkono mwenzio walihudhulia katika sherehe hiyo ni alex joseph alimaluufu kama baba alice hamisi mpalu beki wa kulia wa yanga african U20 na wengine wengi pia kisanda amewashukuru sana wote waliohudhulia sherehe yake na kuahidi kurudi uwanja baada ya siku chache zijazo.

No comments:

Post a Comment