Monday, June 6, 2016

MSANII WA BONGO MOVIE RACHEL BITHULO AKANUSHA KUWA NA MAHUSIANO.

Msanii anayekuja juu katika tasnia ya bongo movie nchini jana akiongea na mwanablog alikanusha kuwa yeye hana mahusiano na maneno yanayo sikika ni uzushi yeye yupo makini kwa ajili ya kazi zake na si mambo mengine msanii huyo aliyecheza movie ya nimekosea wapi kama movie queen ambapo ameonyesha uwezo wa juu sana ambapo aliwatahadharisha walio juu kuwa wakae tayari kwani mambo ndo yameanza.







No comments:

Post a Comment