Wednesday, June 8, 2016

MTI WA MUEMBE WAZUA KIZAZAA HUKO TANGA.

Ni katika uwanja tangamano mkoni tanga imesemekana kuwa kuna mtu aina ya muembe kuonekana ni waajabu ambapo ifikapo majira ya jioni mwembe hubadilika taswira na kufanana na sura ya MWALIMU JULIAS NYERERE mti huo umekusanya watu kutoka katika maeneo tufauti ya mji wa tanga ili kuushuhudia .


No comments:

Post a Comment