OMARY TEGO AWAZAWADIA MASHABIKI WAKE ZAWADI YA RAMADHANI KARIM.
Msanii wa miondoko ya taarabu omary tego yupo mbioni kuachia kibao chake kipya kinaenda kwa jina la RAMADHANI KARIM hii ni mahususi kwa mashabiki wake na mashabiki wa muziki tanzania kaa tayari kuipokea nyimbo hiyo na kuonyesha ushirikiano.
No comments:
Post a Comment