Wednesday, June 8, 2016

KOCHA MKUU WA YANGA PLUIJIM AWACHIMBA MKWALA WACHEZAJI WAKE .




PLUIJIN alisema haoni kama kuna sababu yoyote ya chezaji kuchelewa kambini maana itakuwa ni utovu wa nidhamu maana hata yeye amaeamua kukatisha mapumziko yake na kurudi Tanzania kukiandaa kikosi chake ili kiweze kufanya vizuri katika michuano hiyo.

No comments:

Post a Comment