Saturday, June 18, 2016

WAZIRI MKUU MH.KASSIM MAJALIWA AAGIZA MIKOA KUWA NA BENKI ZA WANANCHI

Waziri mkuu kassim majaliwa ameagiza kila mkoa kuweka mpango wa kuanziasha benki ya wananchi akitoa maagizo hayo jana akifungua mkutano wa wadau wa jumuiya za benki za wananchi unaofanyika jijini dar es salaam.

No comments:

Post a Comment